OFISI YA CCM YACHOMWA MOTO MAFIA



Ofisi ya ccm yachomwa moto mafia na watu wasio fahamika na kutokomea kusiko julikana

ofisi hiyo iliyopo mafia mkoani pwani imechomwa moto na kila kitu kimeungua kilicho kuwepo ndani ya ofisi hiyo

ccm imesibitisha kuchomwa kwa ofisi yao na kusema aliye choma hajulikani mpaka sasa

pia amesema mtindo wa uchomaji uliofanyika umetumika mtindo wa kuwasha moto na hatimae kurushia katika paa la ofisi hiyo

moto huo umeunguza kila kitu hakuna kilicho okolewa na hawajui kwanini watu au mtu huyo kachukuwa uamuzi wa kuchoma offisi hiyo

polisi ipo kwenye uchunguzi kuwabaini waliofanya tukio hilo


Post a Comment

Previous Post Next Post