MAKOMANDO WANNE WA MAREKANI WAUAWA NIGER

Jeshi la marekani limesibitisha kutokea vifo vya makomandoo wao wanne nchini Niger

jeshi limesema makomando hao walikuwa nchini Niger wakitoa mafunzo ya kijeshi kwa wanajeshi wa nchi hiyo kwa kipindi kirefu sasa

kwa mujibu wa taarifa wana mgambo wa alquider wanaaminika kufanya shambulio hilo ambalo lilikuwa ni la kushtukiza

baadhi ya majeruhi wamepelekwa hospitali lakini wanne wamepoteza maisha katika shambulio lililo fanyika  kwenye maeneo ya mpakani na mali

jeshi la marekani linaendesha mafunzo maalumu ya kijeshi katika nchi hiyo ili kusaidia mapambano dhidi ya bokho haram na alquider ambao wanasumbua kipindi kirefu

kufuatia tukio hilo raisi wa Niger ametoa salam za pole kwa marekani huku akilaani tukio hilo lililo chukua uhai wa makomandoo wanne

Post a Comment

Previous Post Next Post