MWANZA:Mkuu wa shule ya sekondari ya mgukulama ya wilayani sengerema mkoani mwanza Benedicto miaka 45 amekutwa amejinyonga chumbani kwake
kwa mujibu wa taarifa mwalimu huyo alikutwa akiwa amejinyonga chumbani kwake ndani ya nyumba yake huku kukiwa hakuna ujumbe wowote
kwa mujibu wa wana familia wanasema mpaka sasa hawajui kwanini marehemu alifikia uamuzi wa kujiondolea uhai kama ambavyo amefanya
hatua ya kujinyonga imekuja miaka mitatu baada ya mwalimu huyo kumpoteza mke wake
jeshi la polisii limesema limepokea taarifa ya kujinyonga kwa mwalimu huyo ambae hajaacha ujumbe wowote na wame haidi kufanya uchunguzi wa kina kubaini chanzo cha tukio hilo
kwa mujibu wa taarifa mwalimu huyo alikutwa akiwa amejinyonga chumbani kwake ndani ya nyumba yake huku kukiwa hakuna ujumbe wowote
kwa mujibu wa wana familia wanasema mpaka sasa hawajui kwanini marehemu alifikia uamuzi wa kujiondolea uhai kama ambavyo amefanya
hatua ya kujinyonga imekuja miaka mitatu baada ya mwalimu huyo kumpoteza mke wake
jeshi la polisii limesema limepokea taarifa ya kujinyonga kwa mwalimu huyo ambae hajaacha ujumbe wowote na wame haidi kufanya uchunguzi wa kina kubaini chanzo cha tukio hilo
Tags
Kitaifa
