WATU WAWILI WAUAWA KWA RISASI MKOANI MOROGORO

Watu wawili wameuawa kwa kupigwa risasi na polisi mkoani morogoro

tukio hilo limetokea kwenye kijiji cha nyalutanga mkoani morogoro baada ya askari polisi kuwafyatulia lisasi wananchi

katika tukio hilo watu wawili wamefariki dunia ambao wametambuliwa kwa majina ya ramadhan kimege na kibwana msipwile huku raia mmoja akijeruhiwa kwenye makalio ambae amefahamika kwa jina la ismahil msagare

mkuu wa wilaya  amesema chanzo cha tukio hilo ni mala baada ya mifugo kuingia sehemu isiyo takiwa ndipo askari mgambo wakaenda kuikamata hatua iyo zusha mvutano

miongoni mwa askari mgambo alisema baada ya kwenda kuikamata mifugo hiyo ndipo wananchi wakaanza kuwazonga huku wakijaribu kuipola bunduki ambayo alikuwa nayo askari polisi

baada ya wananchi kumzidi nguvu askari aliamua kufyatua risasi kujinusuru ambapo kwa bahati mbaya zikawakuta wananchi wawili na kumjeruhi mtu mkoja kwenye makalio

mkuu wa wilaya amesema ameunda kamati maalumu kuchunguza undani wa tukio hilo la watu kupoteza maisha

Post a Comment

Previous Post Next Post