Rio frednand mchezaji wa zamani wa MAN UNITED ambae alikuwa akicheza kama mlinzi wa mwisho ameamua kujiunga na ndondi
Frednand ambae alistafu kuichezea timu ya MAN UNIETD ya ENGLAND ametangaza kujiunga na masumbwi
amesema ameshinda mataji mengi saana kwenye mpila sasa ni muda muafaka wa kushinda mikanda
katika video fupi ameonekana akijifua kwenye masumbwi na anatarajia kupanda ulingoni kuzichapa
Rio amefuata nyayo za mchezaji wa cricket wa uingereza ambae baada ya kustaafu aliingia kwenye masumbwi na kushinda mechi kadhaa
watu wengi nchini uingereza wamekaa mkao wa kula kumshuhudia mchezaji huyo akipambana ulingoni
Tags
Michezo