WABUNGE WAPIGANA BUNGENI UGANDA

Wiki hii haikuwa nzuri nchini uganda baada ya wabubge kupigana na kupelekea kuwepo kwa uharibifu

nchini uganda wabunge walipigana katika kikao cha kujadiri uwezekano wa kubadiri katiba mpya

serikali imekuja na hoja ya kutoq ukomo wa raisi kugombea ambapo katiba inasema umri wa kugombea ni mwisho miaka 75

upande wa serikali umekuja na mswada wa kutaka kutoa ukomo wa mri hatua ambayo wapinzani hawajakubali

wapinzani wamesema katiba ikibadirishwa inamaana rais Yoweli mseven atagombea tena uchaguzi ujao

ugomvi ulizuka mara baada ya spika kuwatoa nje wabunge 25 wa upinzani kitu ambacho hakikiwafuraisha wenzao

ilizuka vuta ni kuvute hatua iliyo pelekea kurushiana viti ikiwemo kuvunja vipaza sauti vya ndani ya bunge

pia baada ya tukio hilo serikali imevitaka vyombo vya habari kutoonyesha vurugu zinazo tokea bungeni vinginevyo wata vifutia reseni

Post a Comment

Previous Post Next Post