wimbo mpya wa DIAMOND watuhumiwa

baada ya msanii duamondi kuachia wimbo wake mpya tuhuma nyingi zimeanza kujitokeza

wimbo huo ambao amemshilikisha msaani kutoka nchini jamaika Morgan heritage umevunja rekodi baada ya kupata watazamaji "viewer"ilioni moja ndani ya masaa 15 na kuipiku rekodi ya alikiba iliyokuwa ndani ya masaa 38

uwingi wa watazamaji hao umewafanya baadhi ya watu kuanza kupata masgaka kutokana na idadi yake kuwa kubwa mno kuwai kutokea

baadhi ya watu wamesema ana nunua views ndiyo maana watazamaji wamekuwa wengi mno huku wakimtuhumu kufanya hivyo ndiyo maana ajajiunga vevo kama wasanii wengine
mashabiki wanasema.diamond haja jiunga vevo kwakuwa ni vigumu kuiba au kufanya ujanja ukiwa chini ya vevo tifauti na youtube ambako watu wengi hufanya ujeuli

pia baadhi ya taasisi za dini zimeonesha kuto furahishwa na jina la nyimbo hiyo ambayo  inaitwa halleluja wakisema haiendani na maudhui ya nyimbo hiyo

Post a Comment

Previous Post Next Post