Msanii wa muziki wa bongo fleva maarufu kama TID asema anatarajia kugombea ubunge mwaka 2020
TID amesema anatarajia kugombea ubunge jimbo la kinondoni baada ya mbunge wa jimbo hilo kushindwa kufanya kazi yake
alisema maneno hayo wakati alihojiwa na EAST AFRICA RADIO na akasema amejipanga kumng'oa mbunge wa sasa kwakuwa amefeli majukumu yake
alisema akipata nafasi ata maliza kero zote zinazo likumba jimbo hilo ikiwemo tatizo la biashara na matumizi ya madawa ya kulevya
TID amesema anatarajia kugombea ubunge jimbo la kinondoni baada ya mbunge wa jimbo hilo kushindwa kufanya kazi yake
alisema maneno hayo wakati alihojiwa na EAST AFRICA RADIO na akasema amejipanga kumng'oa mbunge wa sasa kwakuwa amefeli majukumu yake
alisema akipata nafasi ata maliza kero zote zinazo likumba jimbo hilo ikiwemo tatizo la biashara na matumizi ya madawa ya kulevya
Tags
Siasa