mapema alfajiri ya leo wanamgambo wa itikadi kari wa Alshabab wameshambulia kambi ya jeshi magharibi mwa mogadishu
raia wa mji huo wanasema waliamshwa na sauti za milipuko mikubwa miwili alfajili ya leo
wanamgambo wa alshabab wamekili kufanya shambulio hilo na wamesema wame waua wanajeshi kadhaa wa jeshi la serikali
taarifa ya jeshi imepinga kuuawa kwa kwa wanajeshi ila imekili kushambuliwa kwa kambi yao
kambi iliyo shambuliwa ni miongoni mwa kambi zenye vifaa vya kisasa vya kijeshi nchini humo ambayo inategemewa
siku za kalibuni wanamgambo hawa wamebadili mfumo wa kufanya mashambulizi ambapo sasa wanashambulia kambi za jeshi la serikali
raia wa mji huo wanasema waliamshwa na sauti za milipuko mikubwa miwili alfajili ya leo
wanamgambo wa alshabab wamekili kufanya shambulio hilo na wamesema wame waua wanajeshi kadhaa wa jeshi la serikali
taarifa ya jeshi imepinga kuuawa kwa kwa wanajeshi ila imekili kushambuliwa kwa kambi yao
kambi iliyo shambuliwa ni miongoni mwa kambi zenye vifaa vya kisasa vya kijeshi nchini humo ambayo inategemewa
siku za kalibuni wanamgambo hawa wamebadili mfumo wa kufanya mashambulizi ambapo sasa wanashambulia kambi za jeshi la serikali
Tags
Kimataifa