mbunge wa jimbo la kilombero Peter lijualikali amekamatwa na polisi kwenye jimbo la malinyi
mbunge huyo alikamatwa jana jioni majira ya saa 12:40 katika maeneo ya malinyi na amekamatwa na viongozi wenzake watatu
mbunge huyo alikuwa kwenye kikao cha ndani kwenye mji wa malinyi lakini wakati anajiandaa kuondoka polisi wakamkamata na kwenda nae polisi
kipindi wanakamatwa walijaribu kujieleza kwa kutoa maelezo lakini polisi hawa kusikiliza ambapo mbunge huyo alisema alikuwa kwenye kikao cha ndani
jeshi la polisi lilisema limepokea amri ya kumkamata kutoka kwa mkuu wa wilaya ana tuhumiwa kufanya mkusanyiko usio sahihi
alipo ulizwa mkuu wa wilaya alikili kuwatuma polisi na alisema wamemkamata kwakuwa amefanya siasa eneo ambalo sio.lake kwakuwa yeye ni.mbunge kilombelo na sio malinyi
alisema pia mbunge huyo wanae na wanaendelea kumfanyia mahojiano yeye na viongozi wenzake
mbunge huyo alikamatwa jana jioni majira ya saa 12:40 katika maeneo ya malinyi na amekamatwa na viongozi wenzake watatu
mbunge huyo alikuwa kwenye kikao cha ndani kwenye mji wa malinyi lakini wakati anajiandaa kuondoka polisi wakamkamata na kwenda nae polisi
kipindi wanakamatwa walijaribu kujieleza kwa kutoa maelezo lakini polisi hawa kusikiliza ambapo mbunge huyo alisema alikuwa kwenye kikao cha ndani
jeshi la polisi lilisema limepokea amri ya kumkamata kutoka kwa mkuu wa wilaya ana tuhumiwa kufanya mkusanyiko usio sahihi
alipo ulizwa mkuu wa wilaya alikili kuwatuma polisi na alisema wamemkamata kwakuwa amefanya siasa eneo ambalo sio.lake kwakuwa yeye ni.mbunge kilombelo na sio malinyi
alisema pia mbunge huyo wanae na wanaendelea kumfanyia mahojiano yeye na viongozi wenzake
Tags
Siasa