TAARIFA KUTOKA JWTZ

mwili wa priveti mussa jumanne muhrey aliye fariki akiwa analinda amani nchini drc utaagwa september 25 katika hospitali ya jeshi ya lugaro saa 2:00 hasubui

na shuguli ya kuuaga mwili wa marehemu utaongozwa na katibu wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga taifa JKT florense turuka

mungu ailaze mahala salama roho ya marehemu

imetolewa na mkurugenzi wa habari mahusiano 22  septemba 2017

Post a Comment

Previous Post Next Post