Raisi magufuri leo alikuwa mkoani arusha ambako aliwapandisha vyeo maafisa wajeshi la wananchi wa Tanzanhia
katika hafla hiyo magufuri alisema siyo maafisa tu jeshi linaitaji na wanajeshi wa kawaida ili kujiimalisha
katika hafla hiyo raisi amesema JWTZ iajili vijana wapya 3000 ili kuongeza idadi ya askari watakao linda mipaka yetu
pia amesisitiza kuwa waajiliwe vijana walio pitia JKT kwa kipaombele cha kwanza katika ajila hizo mpya alizo tangaza
Tags
Ajira