polisi amuua kwa risasi mke wake kisha kujipiga na yeye pia

Askari polisi iliye fahamika kwa jina la Stephen mungai wa nakuru nchini kenya amuua mke wake kisha na yeye kujipiga risasi mbele ya mtoto wao

askari huyo wa kituo cha Molo mjini nakuru alimpiga mke wake risasi na bunduki aina ya AK47  mbele ya mtoto wao

kwa mujibu wa majirani walisema kuwa  walisikia watu wakisemezana kwa muda na baadae kusikia milio ya risasi lakini baada ya muda kukawa kimya

baada ya muda wakaenda eneo la tukio wakamkuta mtoto huku baba na mama yake wakiwa wamefariki hapo hapo na bunduki aina ya AK47 ikiwa pembeni

mpaka sasa chanzo cha ugomvi hakija fahamika na uchunguzi zaidi unaendelea kubaini chanzo cha mauaji hayo

Post a Comment

Previous Post Next Post