Jeshi la wanamaji wa Ujerumani yasema imeipata nyambizi ambayo ilizama tangu mwaka 1915
nyambizi hiyo imekutwa umbali wa mita 30 chini ya bahari kwenye pwani ya nchi ya Ubergiji
mkuu wa jeshi amesema nyambizi hiyo ilizamishwa na mlipuko wakati wa vita ya kwanza ya dunia
jeshi limesema nyambizi hiyo ilikuwa na uwezo wa kuzama mita 50 nchini ya bahari
inaaminika miili ya wanajeshi 50 huenda ikawa bado ipo ndani yake na imewekewa ulinzi ili isisogelewe na mtu wakati wakijiandaa kuiopoa
Tags
Kimataifa