MBUNGE ZITTO KABWE ANATAFUTWA

Mbunge wa kigoma mjini kupitia chama cha ACT Zitto kabwe anatafutwa na kamati ya bunge

kupitia kwa katibu wa bunge Thomas kashililah amesema kuwa mbunge huyo alipewa barua ya kuitwa kwenye kamati ya bunge lakini hakuja

amesema baada ya muda akasikika kuwa yupo nchini kenya huku akiwa hajatoa taalifa kamili

kamati ya bunge imesema bado ipo bungeni dodoma na inashindwa kutoa maamuzi kwakuwa muhusika hayupo na anaweza kulalamika baadae

spika wa bunge Job ndugai aliwasilisha tuhuma kwenye kamati ya bunge akimtuhumu zitto kabwe kutamka maneno yasiyo ya busara kwenye mitandao ya kijamii akisema bunge limewekwa mfukoni na mhimili fulani

Post a Comment

Previous Post Next Post