Ney wa mitego awachana wasanii wanao tumia ushilikina kwenye.muziki wao
akiongea kwenye kipindi cha XXL cha clouds fm alisema kuna wasanii wengi wanatumia ndele kwenye muziki wao ili waeleweke na mashabiki
amesema ukitumia ushilikina siku ukija kufuria huwezi rudi kwenye hame hata ukafanya wimbo na yesu na amesema wengi imesha wakuta hiyo na wapo tuu mtaani kazi yao kusema wenzake
ney amesema anajiamini bila ndele na hata akipanda jukwaani yete ni lama Juma nature hata asipo kuwa na nyimbo mpya ana wakalisha watu kama kawaida
akiongea kwenye kipindi cha XXL cha clouds fm alisema kuna wasanii wengi wanatumia ndele kwenye muziki wao ili waeleweke na mashabiki
amesema ukitumia ushilikina siku ukija kufuria huwezi rudi kwenye hame hata ukafanya wimbo na yesu na amesema wengi imesha wakuta hiyo na wapo tuu mtaani kazi yao kusema wenzake
ney amesema anajiamini bila ndele na hata akipanda jukwaani yete ni lama Juma nature hata asipo kuwa na nyimbo mpya ana wakalisha watu kama kawaida
Tags
burudani