kampuni moja kubwa ya rocketi iitwayo SPACEX imehaidi kuja na rocket mpya ambazo zitakuwa zikibeba abilia
mmiliki wa kampuni hiyo amesema.wanampango wa kuleta rocketi ambayo itakuwa na safari za New york mpaka London
amesema rocketihizo zime zamilia kupunguza muda wa safari na itasafiri new york mpaka london kwa muda wa dakika.29 tuu
pia kampuni hii ina itaji kuanzisha safari zingine za kusafirisha watalii mpaka kwenye sayari ya Mars ili watu wakajionee
kampuni hiyo imesema mradi huo utaghalimu pesa nyingi lakini wamejipanga kufanya mapinduzi ya tekenolojia ya safari
miongoni mwa rocket zimekuwa ziki safiri na baada ya safari kuto tumika tena.sasa wamejipanga kuleta rocket zenye muundo wa ndege kimuonekano na kimatumizi pia
mkuu wa kampuni hiyo amewataka watu kuwa watulivu wamejipanga kuleta mabariko makubwa katika usafiri
mmiliki wa kampuni hiyo amesema.wanampango wa kuleta rocketi ambayo itakuwa na safari za New york mpaka London
amesema rocketihizo zime zamilia kupunguza muda wa safari na itasafiri new york mpaka london kwa muda wa dakika.29 tuu
pia kampuni hii ina itaji kuanzisha safari zingine za kusafirisha watalii mpaka kwenye sayari ya Mars ili watu wakajionee
kampuni hiyo imesema mradi huo utaghalimu pesa nyingi lakini wamejipanga kufanya mapinduzi ya tekenolojia ya safari
miongoni mwa rocket zimekuwa ziki safiri na baada ya safari kuto tumika tena.sasa wamejipanga kuleta rocket zenye muundo wa ndege kimuonekano na kimatumizi pia
mkuu wa kampuni hiyo amewataka watu kuwa watulivu wamejipanga kuleta mabariko makubwa katika usafiri
Tags
Technology