MWINGEREZA AKAMATWA DUBAI BAADA YA KUMWONESHEA DOLE.LA KATI DEREVA TAX

Mwanamume mmoja raia wa uingereza amekamatwa dubai baada ya kunyanyua juu kidore chake cha kati

mwanaume huyo alitenda kosa hili mnamo mwezu februali mwaka huu na amekamatwa septemba baada ya kwenda tena kutarii nchini humo

kwa mujibu wa maelezo yake amesema alifanya hivyo baada ya dereva taxi kumpita bila kusimama huku yeye akiwa hajui kama ni kosa kufanya hivyo

mpaka sasa amenyang'anywa pass yake ya kusafilia na kutakiwa kuto ondoka dubai ili asikilize kesi yake

amesema inamuwia ngumu kwakuwa anahisi muda si mrefu ataishiwa pesa kwakuwa hakujipanga kuwepo kwa muda mrefu zaidi

miongoni mwa vitendo ambavyo vinaweza kukuweka matatani dubai ni pamoja na
*kushikana mikono hadharani
*kupigana busu hadharani
*kulala chumba kimoja na mtu wa jinsia tofauti ambae si mke wako
*kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtu wa jinsia moja nawe
*kuvaa nguo za kubana
*mwanamke kuto jifunika mwili wako

Post a Comment

Previous Post Next Post