Jaji mkuu wa tanzania pr.hibrahim juma amesema mahakama haipo tayali kuongelea swala la tundu lissu
wakati akiongea na wana habari jaji mkuu amesema.kuna kanuni zinawabana haziwaruhusu kuzungumzia jambo lolote linalo weza kufika mahakamani
amesema hawaruhusiwi kuzungumza ila wanawataka wananchi kuwaacha polisi wafanye kazi yao kwakuwa ndiyo watu wenye jukumu hilo
pia amesisitiza kuwa swala hili ni swala lenye uzito mkubwa na watu wasichukulie ki wepesi kabisa jambo hili
pia wakati akijibu maswali ya wana habari jaji mkuu alisema mahakama ya Tanzania ina uhuru mkubwa pengine zaidi ya kuishinda mahakama ya kenya
pia jaji mkuu amewataka wananchi na watanzania kwa ujumla kuwa na imani na mahakama kwakuwa mahakama ipo kwaajili ya kuamua haki na inajitawala