MTU NA MKE WAKE WAKILI KUUWA WATU 30 NAKULA MIILI YAO

Mwansume mmoja aliye tambulika kwa jina la Dmitry baksheev miaka 35 na mke wake Natalia wanashililiwa na polisi baada ya kuuwa watu 30

wawili hao wanaishi katika kambu ya jeshi nchini urusi walikamatwa na baadhi ya nyama za binadamu na walipo ulizwa wakili kuwauwa watu 30

wawili hao ni wana ndoa inaaminika walianza kuuwa watu na kula miili yao tangu miaka ya 90

hivi kalibuni kulibainika kuwepo kwa vipande vya miili ya binadamu maeneo ya nyumbani kwao hali iliyo shangaza watu wengi

miongoni mwa watu walio potea mmoja mwili wake ulikutwa kwenye nyumba ya wanandoa hao wawili

pia simu moja iliyookotwa ilionesha baadhi ya picha za wanandoa hao wakiwa wanatafuna nyama huku kichwa cha binadamu kikiwa kwenye sahani na tunda pembeni

jeshi la polisi linchunguza DNA za miili mingine waliyo ikuta kama ni miili ya binadamu au wanyama

Post a Comment

Previous Post Next Post