KESI YA VIGOGO WA SIMBA YAPIGWA KARENDA

Katika kesi inayo wakabili vigogo wawili wa timu ya simba kesi hiyo imepigwa karenda

katika kesi hiyo mahakama imesema imeshindwa kuendelea leo kwakuwa jalada lai lilienda kwa DPP halijarudu

watuhumiwa hao ni raisi wa simba Evans aveva na Geofrey nyange maarufu kama kaburu

vuingozi hao wanakabiliwa na mashitaka ya kutakatisha fedha na kesi yao imehailishwa mpaka oktoba 4 licha ya mawakili wao kuomba ipangiwe siku za karibuni

Post a Comment

Previous Post Next Post