Raisi wa zimbabwe.Robert mugabe amtia mkara raisi wa marekani Donard trump
mugabe amesema hakuna taifa dogo kijeshi kwenye ulimwenguu huu wa sasa wa sayansi na tekenolojia
mugabe amesema kila nchi ina uhuru wake na inaweza kujiongoza yenyewe na siyo kupelekeshana kitu hicho hakifai na hakita kubalika
pia kasisitiza kila taifa lina haki ya kujiongoza ikiwemo kumiliki siraha siyo tuu nchi kubwa ndiyo zina haki hivyo basi trump awe na heshima na uhuru wa taifa jingine
Tags
Kimataifa