JESHI LA POLISI LASEMA MIILI ILIYO OKOTWA HAIJULIKANI IMETOKA WAPI

Kamanda wa polisi kanda maalumu ya dar es salaam Razaro mambosasa amesema miili ilyookotwa ufukwe wa bahali ya hindi haijulikani ni ya kutoka wapi

mambosasa amesema miili hiyo haitambulika ni ya kutoka nchi gani au ni mkoa gani maana haitambuliki kutokana na kuhalibika

amesisitiza kuwa uchungizi unaendelea kubaini miili hiyo iliko toka na kwanini ilitoswa baharini

miili ya watu watatu ili okotwa kwenye ufukwe wa bahari ya hindi ikiwa imefungwa mawe ili isielee huku ikiwa haifahamiki

Post a Comment

Previous Post Next Post