HomeMichezo OFISI ZA TIMU YA YANGA KUPIGWA MNADA JUMA MOSI byAdmin -August 17, 2017 0 Jengo la ofisi za timu ya Yanga latangazwa kupigwa mna jumamosi hii hatua hii imekuja baada ya timu ya yanga kushindwa kulipa deni la shilingi milioni 300 ambayo wamedaiwa kwa kipindi kirefu Tags Michezo Facebook Twitter