MWAMAMKE ALIPWA MILION 200.BAADA YA KUVULIWA IJABU NA POLISI MAREKANI



Mwanamke pichani alipwa dolla.$85000 baada ya kuvuliwa hijabu na polisi wa kiume nchini marekani

mwanamke huyu alikamatwa na polisi mwaka 2005 na baaada ya kuitajika kuvua hijabu yake  aliomba avuliwe na askari wa kike lakini aka vuliwa na wakiume

baada ya kuvuliwa alikaa kichwa wazi magereza kwa muda kabla ya kurudishiwa hijabu yake

baada ya kumaliza kifungo chake kwenye mji wa Calfornia aliamua kufungua kesi mahakamani kufuatia kitendo alicho fanyiwa

baada ya mahakama kulipitia shauli lake ndipo akaamuliwa alipwe fidia ya dolla.85000 kama kifuta jasho cha kitendo hicho


Post a Comment

Previous Post Next Post