BINADAMU KUANZA KUPANDIKIZWA VIUNGO VYA NGURUWE



Wanasayansi nchini marekani wafanikiwa kubaini uwezekano wa binadamu kupandikizwa viungo vya nguruwe

wanasayansi hao wamegundua uhusiano wa viungo vya nguruwe na binadamu na vikipandikizwa kwa binadamu vitafanya kazi bila mashaka

wanasayansi hao walisema haikuwa raisi kuamini kuwa viungo vya nguruwe kama vinaweza kumfaa binadamu lakini imewezekana

wamesema uchunguzi umekamilika na watu zaidi ya mia tatu wanasubiri kupandikizwa viungo hivyo vya nguruwe ili kunusuru afya zao

wanasayansi hai iliwachukua zaidi ya muongo mmoja kupata jibu kuhusu uwiano sahihi wa viungo vya nguruwe na binadamu


Post a Comment

Previous Post Next Post