
Nchini ujerumani maduka makubwa yamelazimika kumwaga mayai waliyokuwa wakiyauza baada ya kubainika sumu ndani yake
mayai zaidi ya milion kumi yamevunjwa baada ya kubainika kuwa na sumu ndani yake inayoweza kusababisga magonjwa
sumu hiyo yaweza kusababisha kansa na marazi ya koo hatua hii imekuja baada yauchunguzi uliofanywa na hatimae wenye maduka wamekubari kuyavunja kutokana na kuwa na sumu ndani yake

Tags
Kimataifa