
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Baby madah amponda shilole baada ya kufungua mgahawa wa kuuza chakura
baby madah alipoulizwa kwanini hana kazi mpya lakini anaishi maisha mazuri mjini
Baby madaha akajibu shule muhimu yeye alisoma ndyo maana leo hana shida kwakuwa alisoma saizi anatumia shule yake kuishi mjini vinginevyo angeuza mama lishe
na alipoulizwa kuhusu kuumwa kwa jini kabura amesema bado wanamsaidia na wana group la whatsap wanashauliana kumsaidia na kumchangia pia
Tags
udaku