WAUGUZI WAWILI WAPANDISHWA KIZIMBANI BAADA YA KUPOKEA RUSHWA YA SHILINGI10000

TAKUKURU mkoani geitsa imewapeleka mahakamani wauguzi wawili wa hospital geita baada ya kuomba rushwa ya shilingi elfu kumi

watutuhumiwa hao ambao ni Elizabeth emanuel na Davidi zaksyo walipandishwa kizimbani baada ya kupokea rushwa ya shilingi elfu kumi

watuhumiwa hao walitenda kosa la kumwomba rushwa mzee wa miaka.70.ambae alikuwa anaitaji kufanyiwa vipimo katika hospitali hiyo

huku jina la mzee huyo likiwa halijatajwa watuhumiwa hao walisomewa mashitaka na waliyakana na wameachiwa kwa dhamana ya mali yenye thamani ya mioni nne na wazamini wawili kesi yao imehairishwa mpaka agost 19

Post a Comment

Previous Post Next Post