MWALIMU AHUKUMIWA KWA KUMPA MIMBA MWANAFUNZI WA MIAKA 16



Jeshi la polisi mkoani rukwa ina mshikilia mwalimu wa shule ya sekondari ya Miangala baada ya kumpa ujauzito mwanafunzi

mwanafunzi huyo wa miaka 16 ambae anasoma kidato cha tatu katika shule hiyo alianza kuhisiwa kuwa ni mjamzito na alipo fanyiwa vipimo na akakutwa na ujauzito wa miezi mitatu

mkuu wa shule hiyo amesibitisha mwalimu wake kufanya kitendo hicho na alisema alimuonya lakini mwalimu huyo hakusikia ushauri

mzazi wa binti huyo anasema ameumia kupata taarifa hizo na kibaya yeye hana uwezo wa kumpeleka mwanae shule binafsi na hajui kama mwanae atasoma tena

polisi imesibitisha kumshikilia mwalimu huyo baada ya kumpatia ujauzito mwanafunzi huyo wa kidato cha tatu


Post a Comment

Previous Post Next Post