WATANZANIA 1000 WASHIKILIWA NCHI TOFAUTI KWAAJILI YA MADAWA YA KULEVYA

Watanzania zaidi ya elfumoja wapo magerezani nchi tofauti duniani baada ya kukamatwa na madawa ya kulevya

wengi wao wamekamatwa nchi za china na afrika ya kisini ambapo baadhi ya waliokamatwa wanasubilia adhabu ya kifo kutokana na kukutwa na madawa ya kulevya

mfano nchi kama ya china wao huwa na sheria kali kupambana na madawa ya kulevya ambapo ukikamatwa adhabu huwa miaka kumi au kunyongwa ambapo muda mwingine huweza kukupa adhabu ya kupigwa risasi mbale za watu ili iwe fundisho kwa wengine

lakini ingawa na haya yoote vijana bado wana rubunika na kusafilisha madawa haya haramu ambayo ukikamatwa adhabu yake huwa ni kubwa saana

pia katika njia za kusafilisha walio wengi hutumia njia ya kumeza ambayo muda mwingine huwa sababishia matatizo hasa pale yanapo pasuka yakiwa tumboni mbebaji hupoteza maisha

hivyo ni vizuri serikali ikajitahidi kutoa elimu kwa vijana kwa kuwa wao ndiyo wahanga wakubwa wa biashara hii ambayo hupoteza nguvu kazi ya taifa kila siku


Post a Comment

Previous Post Next Post