MAGUFULI ASEMA TULICHEZEWA SAANA SASA BASI

Rais john pombe magufuli amesema tanzania tulichezewa saana kwa miaka mingi sasa inatosha kwa sasa

Raisi aliyasema haya wakati akifungua maonesho ya Sabasaba ambayo yamefunguliwa rasmi leo

JPM alisema kwa miaka mingi watu walikuwa wanafanya watakavyo wao kwa maslahi yao sasa tumeamua kuweka kilakitu sawa kwa kuwa tumechezewa saana na watu wenye nia mbaya na taifa hili

pia raisi amewataka wafanya biashara walio husika katika maonrmesho hayo ya sabasaba kuwekeza nchini kwa kuwa kuna sehemu nyingi za uwekezaji ambazo wamaweza kuwekeza

kauli ya raisi ya kuhusu kuchezewa imekuja baada ya kuja kwa ripoti tofauti ikiwemo ripoti ya kuhusu mchanga wa dhahabu na usajili wa ACACIA ambayo ina tuhumiwa kufanya shughuli zao bila ya kusajiliwa nchini tanzania huku ikilipa kodi kidogo

kufuatia kugundulika kwa ACACIA raisi aliwataka walio husika katika mikataba hiyo kunyang'anywa hati zao za kusafilia akiwemo Endru chenge


Post a Comment

Previous Post Next Post