Baada ya kuzindua pafyumu zake."CHIBU" msanii diamondi aanza kuuza karanga kitu ambacho hakikutarajiwa
saivi diamondi amekuja na karanga zake ambazo kaziita DIAMOND KARANGA ambazo zimeshaanza kuuzwa nchini kenya kwenye supermaket tofauti
biashara hii ni ya kipekee ambayo hakuna aliyefikilia kama diamond anaweza kuja naayo kwa sasa
hii ni baada ya kufanikiwa kwa CHIBU pafyumu ambayo aliitangaza miezi kadhaa iliyopita
pia amekaribisha uwakala ambapo ukinunua boxo moja ya 20000 utapata faida ya ya shilingi elfu kumi katika kila box moja lenye paket miamoja
Tags
Kitaifa