Waliokuwa walinzi wa mgifi wa Buzwagi wakwama ndani ya mgodi kwa siku nne mfululuzo
walinzi hao 28 walikataa kusaini mkataba na kampuni mya hivyo uongozi wa kampuni ukaamua kufuta vitambulisho vyao na walinzi hao kujikuta wanashindwa kutoka nje
kabla walinzi hao walikuwa 107 ksti yao 52 walikubari kusaini mkataba mpya na 28 walikataa huku wengine walikuwa likizo wakijikuta vitambulisho vyao havifanyi kazi tena
walimzi hao walikaa humo kwa siku nne sasa huku wakiwa hawapewi chakula lakini baada ya makubaliano walipewa chakura
baada ya kutafutwa msemaju wa mgodi huo uliochini ya ACACIA bwana Nector Foya alisema atatoa ufafanuzi saa sita mchana jana lakini hakufanya hivyo na alipo tafutwa baadae alisema alikuwa kwenye kikao na hajaweza kutoa ufafanuzi zaidi
walinzi hao 28 walikataa kusaini mkataba na kampuni mya hivyo uongozi wa kampuni ukaamua kufuta vitambulisho vyao na walinzi hao kujikuta wanashindwa kutoka nje
kabla walinzi hao walikuwa 107 ksti yao 52 walikubari kusaini mkataba mpya na 28 walikataa huku wengine walikuwa likizo wakijikuta vitambulisho vyao havifanyi kazi tena
walimzi hao walikaa humo kwa siku nne sasa huku wakiwa hawapewi chakula lakini baada ya makubaliano walipewa chakura
baada ya kutafutwa msemaju wa mgodi huo uliochini ya ACACIA bwana Nector Foya alisema atatoa ufafanuzi saa sita mchana jana lakini hakufanya hivyo na alipo tafutwa baadae alisema alikuwa kwenye kikao na hajaweza kutoa ufafanuzi zaidi
Tags
Kitaifa
