Timu ya manchester united imeipimu chelsea katika mbio za kumsajili roleu lukaku
kaba chelsea ilitangaza nia ya kumsajili lukaku baada ya wao kumuuza kwa everton na baadae kumtaka tena arufi klabuni hapo
lakini manchester united wamefanikiwa kumsajili kwa dau la paun mikioni 75 ukiwa niusajiri wa bei kali.kwa msimu huu kwa ligi kuu ya uingereza
kufuatia hatua ya kumpata lukaku man united wamesitisha mbio zao za kutaka kumsajiri Morata kutoka madrifi ambae wakikuwa wakimwinda pia
lukalu mwenye umri wa miaka 24 amegunga magori 28 hatua iliyomweka mahara pazuri na kuwaniwa na timu nyingi ikiwemo timu yake ya zamani ya chelsea ambayo ilikuwa ikimeitaji saana mchezaji huyo
kaba chelsea ilitangaza nia ya kumsajili lukaku baada ya wao kumuuza kwa everton na baadae kumtaka tena arufi klabuni hapo
lakini manchester united wamefanikiwa kumsajili kwa dau la paun mikioni 75 ukiwa niusajiri wa bei kali.kwa msimu huu kwa ligi kuu ya uingereza
kufuatia hatua ya kumpata lukaku man united wamesitisha mbio zao za kutaka kumsajiri Morata kutoka madrifi ambae wakikuwa wakimwinda pia
lukalu mwenye umri wa miaka 24 amegunga magori 28 hatua iliyomweka mahara pazuri na kuwaniwa na timu nyingi ikiwemo timu yake ya zamani ya chelsea ambayo ilikuwa ikimeitaji saana mchezaji huyo
Tags
Michezo
