
Ommy dimpozi kupitia ukurasa wake wa twiter ametangaza kujiunga na rebo kubwa ya muziki Afrika ya Rockstar
ommy dimpozi alisema taarifa hiyo ni official kuwa sasa atafanya kazi chini ya Rockstar ambayo pia alikiba yupo kwa muda mrefu
kuhusu rebo yake aliyokuwa akiimiliki ajasema itakuwaje ambapo katika rebo yake alimsajili Msanii Neddy music

Tags
Entertaiment