RAIS WA ZAMANI WA SENEGAL AGOMBEA UBUNGE



Raisi wa zamani wa senegal Abdulaye wade arudi nyumbani kwao senega kwaajili ya kugombea ubunge

raisi huyo ambae aliishi uhamishoni ufaransa kwa miaka mingi ameamua kurudi na kuja kugombea ubunge nyumbani kwenye taifa ambalo alishawai liongoza akiwa raisi

alisema ameamua kurudi ili awatumikie watu wa senegali kwakuwa wana mwitaji awasaidie katika kuleta maendelei

hatua hii imewashangaza wengi ila yeye amesema ni uamuzi sahihi kwake kuwatumikia tena watu wa senegali akiwa kama mbunge


Post a Comment

Previous Post Next Post