RAIS WA KENYA AIONYA MAHAKAMA



Raisi wa kenya Uhuru kenyata aionya mahakama kwakile alicho kiita kuisaidia upinzani kushinda

raisi wa kenya aionya mahakama akituhumu kuisadia upinzani kushinda uchaguzi kwa njia zisizo halali

majuzi mahakama iliamulu kusitisha zabuni ya uchapishaji wa karatasi za kupigia kura baada ya kupatikana kwa dosari

kufuatia hatua hiyo kenyata ameionya mahakama akisema inapanga ujeuri dhidi yake katika uchaguzi

baada ya kuionya pia mahakama ime mwonya na yeye kuwa asijaribu kuikaba mahakama kwakuwa mahakama inafanya kazi yake


Post a Comment

Previous Post Next Post