
mtangazaji maarufu wa radio ya E fm ya dar es salaam afariki dunia jana
mtangazaji huyo maarufu katika mtandao wa instagram akitumia jina la bikira_wa_kisukuma amefariki jana katika hospitali ya muhimbili
uongozi wa E fm umesibitisha kutokea kifo cha mfanyakazi wake ambae alikuwa anapendwa na wengi kutokaba na utangazaji wake katika redio hiyo
Tags
Kitaifa