POLISI YAWAUA MAJAMBAZI WAWILI KIBITI



Polisi mkoani pwani imefanikiwa kuwaau majambazi wawili rufiji

polisi wakiwa dolia waliwatilia mashaka watu watano walio waona na kuanza kuwafuatilia baada ya kuwafuatilia watu hao wakaanza kukimbia huku wakirusha risasi kwa polisi ndipo polisi wakaanza kujibu ndipo wakafanikiwa kuwajerui watu wawili

baada ya kupata majereaha watu hao walipoteza maisha wakati wakipelekwa hospitali ambapo miongoni mwa walio fariki ni pamoja na Abdalah ngande ambae alikuwa antafutwa na jeshi la pollisi kwa muda sasa

miili ya watu hao ime ifaziwa katika hospitali ya muhimbili jijini dar es salaam


Post a Comment

Previous Post Next Post