
Wakazi wa mitaa ya Kange na Mkurumuzi jijini tanga hawana amani kufuatia mamba kusumbua watu katika maeneo yao
mamba huyo ambae ametoka katika bwawa moja lililo bomoka karibu na maeneo wanayo ishi watu
majuzi mama mmoja alinusulika kuliwa na mamba huyo ambae anakaa vichakani na kuvizia watu kila mara mchana na usiku
mwenyekiti wa mtaa huo amesema mamba wameanza muda mrefu kusumbua na wamesha toa taarifa kwenye vyombo husika lakini hakuna hatua zozote zilizo chukuliwa ili kudhibiti tatizo hilo
wameomba serikali ya halmashauri kurekebisha bwawa hilo ili likauke maana likikauka mamba hawataweza kuishi pale tena
Tags
Kitaifa