PETE YA KUWEKA UKENI KUZUIA UKIMWI YAGUNDULIWA



Wanasayansi nchini marekani wamegundua pete inayo wekwa ukeni ili kuzuia maambukizi ya HIV

Pete hiyo imegundulika na inatarajiwa kufanyiwa majaribio nchi za afrika ili kujikinga na maambukizi ya HIV ili kupambana na ugonjwa wa ukimwi

pete hiyi itakuwa inakaa ukeni na kubadirishwa kila mwisho wa mwezi  ili kuzuia uchafu utakao jitokeza

matokeo kamili hayajapatikana lakini wanaamini itasaidia kupambana kupunguza maambukizi ya virusi vya ukimwi


Post a Comment

Previous Post Next Post