BABA MAMA NA MFANYAKAZI WAFARIKI AJARINI WAKIELEKEA MSIBANI



Watu watatu wa familia moja wafariki ajarini mkoani Iringa wakielekea msibani mkoani Ruvuma

watu hao watatu ni baba,mama na mfanyakazi walikuwa wakisafiri na gari aina ya Rav4 ambayo iligongana uso kwauso.na gari aina ya mistubishi mkoani Iringa

familia hiyo ilikuwa inaelekea kwenye msiba mkoani Ruvuma wamepata ajari iringa wakitokea dar es salaam

mkuu wa polisi wa mkoa iringa asibitisha kutokea kwa tukio hilo


Post a Comment

Previous Post Next Post