AKUTWA AMEFARIKI NDANI YA NYUMBA YA WAGENI (GEST HOUSE)



Mwanaume mmoja aliye fahamika kwa jina la Mwesigwa Mberwa miaka 23 amekutwa amefariki ndani ya nyumba ya kulala wageni

tukio hilo limetokea katika mkoa wa pwani katika nyumba ya wageni ijulikanayo kama.MSUKUMA

katika tukio hilo muhudumu ndyo alikuwa wakwanza kugundua baada ya mteja huyo kuchukua chumba tangu julai 19 lakini hakuonekana kutoka nje

ndipo akatoa taarifa polisi ambapo walivunja mlango na hatimae kuukuta mwili wa marehemu ndani huku ukiwa hauna jeraha lolote

mwili huo umechukuliwa na kuifadhiwa hospitali ya mkoa pwani ili taratibu zingine zifuate


Post a Comment

Previous Post Next Post