MZEE MWENYE WATOTO MIAMOJA(100) ASEMA ANATAMANI AZAE TENA



Mzee mmoja nchini Ghana ana watoto miamoja lakini bado anatamani kuzaa tena watoto zaidi

mzee huyo mwenye miaka 80 ana watoto miamoja na wanawake 12 ambao amezaa nao hao watoto

mzee huyo anasema aliamua kuzaa watoto wengi kwakuwa hakuwa na ndugu hivyo hakutaka ukoo wao upotee ndiyo maana akazaa watoto wengi

lakini bado anatamani kuwa na watoto zaidi angalau wafike mia na hamsini ili uwe ukumbusho na hata akifa azikwe na watu wengi

anasema zamani alikuwa tajili ndiyo maana aliweza kuwahudumia watoto woote alio wazaa na hakuna ata mmoja aliye pata tabu .Pia watoto wake ni thelusi ya wanakijiji anacho ishi yeye kwasasa


Post a Comment

Previous Post Next Post