
Mkazi wa Mharani wilayani Kibaha Mariam Omary miaka 31 amekutwa amefariki nje ya nyumba yake
mwanamke huyo amekutwa amefariki nje ya nyumba yake huku akiwa amevuja damu nyungi na kupatwa na majeraha usoni
kamanda wa polisi pwani amesema chanzo cha kufanyika kwa mauaji ya huyo mwanamke hakija julikana na polisi wanamtafuta msababishaji
mwanamke huyo amekutwa amefariki mita 40 kutoka nyumbani kwake ambako anaishi
Tags
Kitaifa