AMWAGIA MKE MWENZAKE TINDIKALI NA WATOTO WAWILI



Mkoani Mbeya mama mmoja amwagiwa tindikali yeye na watoto wake wawili

mwanamke aliye fahamika kwa jina la  Vumilia shamega miaka.31 amemwagiwa tindi kali yeye na watoto wake wawili ambae ni Lovness john miaka 11 na Nancy peter miaka 5 wakati wakitoka dukani jioni

tukio hilo limedaiwa kufanywa na mama aliye tambulika kwa jina la Emmy kyando miaka 40 kwa kile kilichoitwa wivu wa mapenzi

mwanamke huyo ni mke mwenza na aliye jeruiwa alimvizia akitoka dukani na kumwagia tindi kali yeye na watoto wake

mpaka sasa polisi wanamtafuta mtuhumiwa wakisaidiana na muume wao


Post a Comment

Previous Post Next Post