MWANAMUZIKI MKONGWE SHABAN DEDE AFARIKI DUNIA

Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi nchini Shaaban dede afariki duni leo hii

mwanamuziki huyo alikuwa akiugua kwa muda mrefu na kulazwa muhimbiki amefariki mapema leo.hospitalini muhimbili alikokuwa akipatiwa matibabu

taarifa zaidi za mazishi tunangoja kutoka kwa wanafamilia wake

Post a Comment

Previous Post Next Post