MTU MMOJA AHOFIWA KUUAWA KIBITI



Mkoani pwani mtu mmoja anasadikika kuuawa kwa kupigwa risasi katika kijiji cha Ruarui wilayani kibiti mkoani pwani

mtu huyo alatambuliwa kwa jina la Ramadhani mzurui ambae ameuawa kwakupigwa risasi huku wakimjerui mke wake

mganga wa hospital kibiti asibitisha kupokea mgonjwa wa kike aliye jeruhiwa na risasi hospitalini hapo

polisi bado inaendelea na uchunguzi kubaini ukweli na undani wa tukio hilo ambalo ni mwendelezo wa mauaji mkoani pwani


Post a Comment

Previous Post Next Post