MTOTO WA KIKWETE ASHINDA TUZO MAREKANI

Reo bungeni walitambulishwa vijana watatu ambao wameshinda tuzo ya Genius olympaid nchini marekani

watoto hao ambao ni wanafunzi wa shule ya wavulana ya feza ya jijini dar es salaam walikuja bungeni wakiwa na walimu wao wawili

wanafunzi hao wamemukuwa washindi wa tuzo hiyo iliyo husisha wanafunzi wa sekondari kutoka maeneo tofauti tofauti

baada ya kuwasili nchini vijana hao walipokelewa na wazazi na jamaa zao kabla ya lei kuitwa bungeni

wanafunzi hao walikuja bungeni kwa mwaliko kutoka kwa waziri wa elimu pr.Joyce ndalichako baada ya kuipeperusha vizuli tanzania nchini marekani

akiwataja mh spika job ndugai aliwataja kuwa ni Abdala rubey, Abdulazack nkamia ambae baba yake ni mbunge na Khalfan jakaya kikwete mtoto wa rais mstaafu jakaya kikwete


Post a Comment

Previous Post Next Post